-
1 Wafalme 6:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Chumba cha ubavuni cha chini kabisa kilikuwa na upana wa mikono mitano, na kile cha katikati kilikuwa na upana wa mikono sita, na kile cha tatu kilikuwa na upana wa mikono saba; kwa maana kulikuwa na vitegemezo+ alivyotia katika nyumba ile katika upande wa nje kuzunguka pande zote, ili kitu chochote kisishikanishwe na kuta za nyumba.+
-