-
1 Wafalme 6:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Ghorofa ya chini ya vyumba hivyo vya pembeni ilikuwa na upana wa mikono mitano, ghorofa ya katikati ilikuwa na upana wa mikono sita, na ghorofa ya tatu ilikuwa na upana wa mikono saba, kwa maana aliacha sehemu zilizoingia ndani ukutani kuzunguka nyumba yote, ili kitu chochote kisifungwe kwenye kuta za nyumba hiyo.+
-