5 Tena akajenga kando ya ukuta jengo la kando lenye kuzunguka pande zote, kando ya kuta za nyumba kuzunguka pande zote lile hekalu na kile chumba cha ndani kabisa,+ akatengeneza vyumba vya kando+ kuzunguka pande zote.
8 Naye akajenga nyumba ya Patakatifu Zaidi,+ urefu wake kuhusiana na upana wa nyumba ulikuwa mikono 20, na upana wake ulikuwa mikono 20;+ kisha akaifunika kwa dhahabu nzuri kiasi chake talanta 600.