10 Na tena akajenga vile vyumba+ vyenye urefu wa mikono mitano vikiwa kwenye ubavu wa ile nyumba yote, navyo vikaunganishwa na nyumba kwa mbao+ za mierezi.
5 Naye akapima ukuta wa nyumba, mikono sita. Na upana wa chumba cha kando ulikuwa mikono minne, kuzunguka pande zote; uliizunguka nyumba yote pande zote.+
26 Na kulikuwa na madirisha yenye kiunzi chenye upana tofauti+ na maumbo ya mitende upande huu na upande ule kandokando ya kumbi za kando na vyumba vya kando vya nyumba na vile vipaa.