Kutoka 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Nawe utafanya madhabahu iwe mahali pa kufukizia uvumba;+ utaifanya kwa mbao za mshita. 1 Wafalme 7:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Na Sulemani mwishowe akavitengeneza vyombo vyote vya nyumba ya Yehova, madhabahu+ ya dhahabu na meza+ ambayo mkate wa wonyesho ulikuwa juu yake, ya dhahabu,
48 Na Sulemani mwishowe akavitengeneza vyombo vyote vya nyumba ya Yehova, madhabahu+ ya dhahabu na meza+ ambayo mkate wa wonyesho ulikuwa juu yake, ya dhahabu,