Ufunuo 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Pia, yale malango kumi na mawili yalikuwa lulu kumi na mbili; kila moja la malango lilifanyizwa kwa lulu moja.+ Na njia pana ya jiji ilikuwa dhahabu safi, kama kioo kiangavu.
21 Pia, yale malango kumi na mawili yalikuwa lulu kumi na mbili; kila moja la malango lilifanyizwa kwa lulu moja.+ Na njia pana ya jiji ilikuwa dhahabu safi, kama kioo kiangavu.