1 Wafalme 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ katika mwaka wa nne,+ katika mwezi wa Zivu,+ yaani, mwezi wa pili,+ baada ya Sulemani kuwa mfalme juu ya Israeli, akaanza kumjengea Yehova nyumba.+ 2 Mambo ya Nyakati 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi akaanza kujenga katika mwezi wa pili, siku ya pili, katika mwaka wa nne wa utawala wake.+
6 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ katika mwaka wa nne,+ katika mwezi wa Zivu,+ yaani, mwezi wa pili,+ baada ya Sulemani kuwa mfalme juu ya Israeli, akaanza kumjengea Yehova nyumba.+