3 Na kulikuwa na mapambo yenye umbo la kibuyu+ chini yake kwenye mviringo wote, yakiizunguka, 10 katika kila urefu wa mkono mmoja, yakiizunguka ile bahari pande zote.+ Yale mapambo yenye umbo la kibuyu yalikuwa katika mistari miwili, yakiwa yamefanyizwa katika myeyusho wake.