2 Mambo ya Nyakati 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na unene wake ulikuwa upana wa kiganja kimoja; na ukingo wake ulikuwa kama muundo wa ukingo wa kikombe, ua la yungiyungi.+ Nayo ikiwa kitu cha kuhifadhia, ingeweza kuchukua vipimo elfu tatu vya bathi.+
5 Na unene wake ulikuwa upana wa kiganja kimoja; na ukingo wake ulikuwa kama muundo wa ukingo wa kikombe, ua la yungiyungi.+ Nayo ikiwa kitu cha kuhifadhia, ingeweza kuchukua vipimo elfu tatu vya bathi.+