10 Na mfano wa nyuso zao, hao wanne walikuwa na uso wa mwanadamu+ na uso wa simba+ upande wa kuume,+ na hao wanne walikuwa na uso wa ng’ombe-dume+ upande wa kushoto;+ hao wanne pia walikuwa na uso wa tai.+
7 Na kiumbe hai wa kwanza ni kama simba,+ na kiumbe hai wa pili ni kama ng’ombe-dume+ mchanga, na kiumbe hai wa tatu+ ana uso kama wa mwanadamu, na kiumbe hai wa nne+ ni kama tai+ anayeruka.