Ayubu 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi pia sitazuia kinywa changu.Nitasema katika taabu ya roho yangu;Nitahangaikia uchungu wa nafsi yangu!+ Zaburi 73:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana moyo wangu ulikuwa umetiwa uchungu+Nami nilikuwa na maumivu makali kwenye figo zangu.+ Methali 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Moyo unajua uchungu wa nafsi+ ya mtu mwenyewe, wala hapana mgeni atakayejiingiza katika kushangilia kwake. Waroma 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa kutoka katika mwili unaopatwa na kifo hiki?+
11 Mimi pia sitazuia kinywa changu.Nitasema katika taabu ya roho yangu;Nitahangaikia uchungu wa nafsi yangu!+
10 Moyo unajua uchungu wa nafsi+ ya mtu mwenyewe, wala hapana mgeni atakayejiingiza katika kushangilia kwake.