Hesabu 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia: 2 Samweli 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi.
23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia:
18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi.