Zaburi 102:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 102 Ee Yehova, uisikie sala yangu;+Na kilio changu mwenyewe cha kuomba msaada na kije kwako.+ Zaburi 141:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+
2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+