38 na katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa Buli, yaani, mwezi wa nane, nyumba ikakamilika+ kuhusiana na mambo yake yote na ramani yake yote;+ hivi kwamba alitumia miaka saba kuijenga.
16 Basi kazi yote ya Sulemani ilikuwa katika hali iliyotayarishwa+ kuanzia siku ya kuweka msingi wa nyumba ya Yehova mpaka ilipomalizika.+ Basi nyumba ya Yehova ikamalizika.+