2 Wafalme 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nanyi bomoeni kila jiji lenye ngome+ na kila jiji bora, mkauangushe+ kila mti mzuri,+ mkazibe mabubujiko yote ya maji, na kuiharibu kwa mawe kila sehemu nzuri ya shamba.”
19 Nanyi bomoeni kila jiji lenye ngome+ na kila jiji bora, mkauangushe+ kila mti mzuri,+ mkazibe mabubujiko yote ya maji, na kuiharibu kwa mawe kila sehemu nzuri ya shamba.”