Mathayo 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+ Mathayo 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na wote wakala na kushiba, nao wakaokota vipande vilivyobaki, vikapu saba vya chakula vilivyojaa.+
19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+
37 Na wote wakala na kushiba, nao wakaokota vipande vilivyobaki, vikapu saba vya chakula vilivyojaa.+