Marko 6:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Naye akawaagiza watu wote waketi wakiwa vikundi-vikundi+ juu ya majani mabichi.+ Yohana 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yesu akasema: “Waketisheni watu kama kwenye mlo.”+ Basi kulikuwa na majani mengi hapo. Kwa hiyo wanaume wakaketi, hesabu yao karibu elfu tano.+
10 Yesu akasema: “Waketisheni watu kama kwenye mlo.”+ Basi kulikuwa na majani mengi hapo. Kwa hiyo wanaume wakaketi, hesabu yao karibu elfu tano.+