Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 4:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Hata hivyo, mtu wake mwenye kumhudumia akasema: “Nitawekaje hiki mbele ya watu mia moja?”+ Naye akasema: “Wape watu ili wale, kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kitaliwa na kutakuwa na masalio.’”+

  • Mathayo 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+

  • Mathayo 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na bado wale waliokula walikuwa wanaume karibu elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto wachanga.+

  • Marko 6:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Naye akawaagiza watu wote waketi wakiwa vikundi-vikundi+ juu ya majani mabichi.+

  • Marko 6:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Zaidi ya hayo, wale waliokula ile mikate walikuwa wanaume elfu tano.+

  • Luka 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa kweli, walikuwa karibu wanaume 5,000.+ Lakini akawaambia wanafunzi wake: “Waagizeni waketi kama kwenye milo, vikundi-vikundi vya karibu 50 kila kimoja.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki