43 Hata hivyo, mtu wake mwenye kumhudumia akasema: “Nitawekaje hiki mbele ya watu mia moja?”+ Naye akasema: “Wape watu ili wale, kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kitaliwa na kutakuwa na masalio.’”+
19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+
14 Kwa kweli, walikuwa karibu wanaume 5,000.+ Lakini akawaambia wanafunzi wake: “Waagizeni waketi kama kwenye milo, vikundi-vikundi vya karibu 50 kila kimoja.”+