Mathayo 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakamwambia: “Hatuna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.”+ Marko 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini wanafunzi wake wakamjibu: “Mtu yeyote aliye mahali hapa pasipo na watu atawashibisha watu hawa kwa mikate kutoka wapi?”+
4 Lakini wanafunzi wake wakamjibu: “Mtu yeyote aliye mahali hapa pasipo na watu atawashibisha watu hawa kwa mikate kutoka wapi?”+