Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Musa akasema: “Watu nilio katikati yao ni wanaume mia sita elfu+ wanaotembea kwa miguu, hata hivyo wewe—wewe umesema, ‘Nitawapa nyama, nao hakika watakula kwa mwezi mzima’!

  • 2 Wafalme 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo amiri msaidizi ambaye mfalme alijiegemeza+ juu ya mkono wake akamjibu mtu wa Mungu wa kweli na kusema: “Ikiwa Yehova angefanya madirisha mbinguni,+ je, jambo hili lingetokea?”+ Naye akasema: “Tazama, wewe unaliona hilo kwa macho yako,+ lakini wewe hutakula kutokana nalo.”+

  • Mathayo 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hata hivyo, wanafunzi wakamwambia: “Katika mahali hapa pasipo na watu tutapata wapi mikate ya kutosha kuushibisha umati huu mkubwa?”+

  • Marko 6:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 kwa maana hawakuwa wamefahamu maana ya ile mikate, bali mioyo yao ilikuwa mizito isiweze kuelewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki