- 
	                        
            
            2 Wafalme 5:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        18 Katika jambo hili Yehova na amsamehe mtumishi wako: Bwana wangu atakapoingia katika nyumba ya Rimoni+ ili kuinama humo, naye anajiegemeza+ juu ya mkono wangu, nami nilazimike kuinama+ nyumbani mwa Rimoni, nitakapoinama nyumbani mwa Rimoni, tafadhali, Yehova na amsamehe mtumishi wako kwa habari hii.”+ 
 
-