11 Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Noa, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, katika siku hiyo chemchemi zote za kilindi kikubwa cha maji zilitobolewa na malango ya mbinguni yakafunguliwa.+
10 Leteni ghalani sehemu zote za kumi,+ ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;+ nanyi, tafadhali, mnijaribu kwa njia hii,”+ Yehova wa majeshi amesema, “kama sitawafungulia ninyi malango ya mbinguni+ na kuwamwagia baraka hata kusiwe na uhitaji tena.”+