Mathayo 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+ Marko 6:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Naye akawaagiza watu wote waketi wakiwa vikundi-vikundi+ juu ya majani mabichi.+ 1 Wakorintho 14:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Lakini mambo yote na yatendeke kwa adabu na kwa mpango.+
19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+