Mathayo 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+ Yohana 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yesu akasema: “Waketisheni watu kama kwenye mlo.”+ Basi kulikuwa na majani mengi hapo. Kwa hiyo wanaume wakaketi, hesabu yao karibu elfu tano.+
19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+
10 Yesu akasema: “Waketisheni watu kama kwenye mlo.”+ Basi kulikuwa na majani mengi hapo. Kwa hiyo wanaume wakaketi, hesabu yao karibu elfu tano.+