Mathayo 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na bado wale waliokula walikuwa wanaume karibu elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto wachanga.+ Marko 6:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Zaidi ya hayo, wale waliokula ile mikate walikuwa wanaume elfu tano.+ Yohana 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yesu akasema: “Waketisheni watu kama kwenye mlo.”+ Basi kulikuwa na majani mengi hapo. Kwa hiyo wanaume wakaketi, hesabu yao karibu elfu tano.+
21 Na bado wale waliokula walikuwa wanaume karibu elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto wachanga.+
10 Yesu akasema: “Waketisheni watu kama kwenye mlo.”+ Basi kulikuwa na majani mengi hapo. Kwa hiyo wanaume wakaketi, hesabu yao karibu elfu tano.+