Zaburi 132:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Bila shaka nitavibariki vyakula vyake.+Maskini wake nitawashibisha kwa mkate.+ Mathayo 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo wote wakala wakashiba, nao wakaokota vipande vilivyobaki, vikapu kumi na viwili vilivyojaa.+ Marko 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi wakala na kushiba, nao wakaokota ziada ya vipande vidogo, vikapu saba vya chakula vilivyojaa.+
20 Kwa hiyo wote wakala wakashiba, nao wakaokota vipande vilivyobaki, vikapu kumi na viwili vilivyojaa.+
8 Basi wakala na kushiba, nao wakaokota ziada ya vipande vidogo, vikapu saba vya chakula vilivyojaa.+