Zaburi 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wapole watakula na kushiba;+Wale wanaomtafuta watamsifu Yehova.+Mioyo yenu na iishi milele.+ Zaburi 37:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hawataona aibu wakati wa msiba,+Na katika siku za njaa watashiba.+