Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 4:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Basi akakiweka mbele yao, nao wakaanza kula, nao wakawa na masalio kulingana na neno la Yehova.+

  • Marko 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi wakala na kushiba, nao wakaokota ziada ya vipande vidogo, vikapu saba vya chakula vilivyojaa.+

  • Luka 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo wote wakala, wakashiba, na ziada waliyokuwa nayo ikaokotwa, vikapu kumi na viwili vya vipande.+

  • Yohana 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini walipokuwa wameshiba+ akawaambia wanafunzi wake: “Kusanyeni pamoja vipande ambavyo vimebaki, ili chochote kisipotee bure.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki