Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 4:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Basi akakiweka mbele yao, nao wakaanza kula, nao wakawa na masalio kulingana na neno la Yehova.+

  • Zaburi 145:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya wote yanakutazama yakiwa na tumaini,+

      Nawe unawapa chakula chao katika majira

      yake.+

  • Mathayo 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo wote wakala wakashiba, nao wakaokota vipande vilivyobaki, vikapu kumi na viwili vilivyojaa.+

  • Marko 6:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 nao wakaokota vipande, vikapu kumi na viwili vilivyojaa, mbali na wale samaki.

  • Yohana 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo wakavikusanya pamoja, nao wakajaza vikapu kumi na viwili kwa vipande vya mikate mitano ya shayiri, ambavyo vilibakizwa na wale waliokuwa wamekula.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki