Luka 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo wote wakala, wakashiba, na ziada waliyokuwa nayo ikaokotwa, vikapu kumi na viwili vya vipande.+ Yohana 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo wakavikusanya pamoja, nao wakajaza vikapu kumi na viwili kwa vipande vya mikate mitano ya shayiri, ambavyo vilibakizwa na wale waliokuwa wamekula.+
17 Kwa hiyo wote wakala, wakashiba, na ziada waliyokuwa nayo ikaokotwa, vikapu kumi na viwili vya vipande.+
13 Kwa hiyo wakavikusanya pamoja, nao wakajaza vikapu kumi na viwili kwa vipande vya mikate mitano ya shayiri, ambavyo vilibakizwa na wale waliokuwa wamekula.+