Mathayo 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 nami nilimleta kwa wanafunzi wako, lakini hawakuweza kumponya.”+ Marko 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na popote pale anapomkamata humwangusha chini, naye hutoa povu na kusaga meno yake na kupoteza nguvu zake. Nami niliwaambia wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”+
18 na popote pale anapomkamata humwangusha chini, naye hutoa povu na kusaga meno yake na kupoteza nguvu zake. Nami niliwaambia wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”+