Mathayo 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Bwana, uwe na rehema juu ya mwanangu, kwa sababu ana kifafa na ni mgonjwa, kwa maana yeye huanguka ndani ya moto na ndani ya maji mara nyingi;+ Luka 9:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na, tazama! roho+ humchukua, na kwa ghafula yeye hupaaza sauti, na huyo roho humfanya agaegae pamoja na kutoa povu, naye hamwachi kabisa baada ya kumchubua.
15 “Bwana, uwe na rehema juu ya mwanangu, kwa sababu ana kifafa na ni mgonjwa, kwa maana yeye huanguka ndani ya moto na ndani ya maji mara nyingi;+
39 na, tazama! roho+ humchukua, na kwa ghafula yeye hupaaza sauti, na huyo roho humfanya agaegae pamoja na kutoa povu, naye hamwachi kabisa baada ya kumchubua.