Mathayo 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na, tazama! mtu mwenye ukoma+ akaja, akaanza kumsujudia, na kusema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.” Mathayo 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+ Luka 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli wakati wa nabii Elisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, ila Naamani yule mtu wa Siria.”+
2 Na, tazama! mtu mwenye ukoma+ akaja, akaanza kumsujudia, na kusema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”
5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+
27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli wakati wa nabii Elisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, ila Naamani yule mtu wa Siria.”+