Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao walipofika mahali ulipokuwa umati,+ mtu fulani akamkaribia, akampigia magoti, na kusema:

  • Marko 1:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Huko pia mtu mwenye ukoma akamjia, akimsihi hata kwa kupiga magoti, akamwambia: “Ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+

  • Marko 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki