Mathayo 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao walipofika mahali ulipokuwa umati,+ mtu fulani akamkaribia, akampigia magoti, na kusema: Marko 1:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Huko pia mtu mwenye ukoma akamjia, akimsihi hata kwa kupiga magoti, akamwambia: “Ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+ Marko 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+
40 Huko pia mtu mwenye ukoma akamjia, akimsihi hata kwa kupiga magoti, akamwambia: “Ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+
17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+