Mathayo 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ponyeni wagonjwa,+ fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, fukuzeni roho waovu. Mlipokea bure, toeni bure.+ Yohana 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa hivyo, alisema hilo si kwa sababu aliwahangaikia maskini, bali kwa sababu yeye alikuwa mwizi+ na alikuwa na sanduku la pesa+ na alikuwa akichukua pesa zilizowekwa ndani yake. Matendo 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Sikutamani fedha au dhahabu au vazi la mtu.+
8 Ponyeni wagonjwa,+ fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, fukuzeni roho waovu. Mlipokea bure, toeni bure.+
6 Ingawa hivyo, alisema hilo si kwa sababu aliwahangaikia maskini, bali kwa sababu yeye alikuwa mwizi+ na alikuwa na sanduku la pesa+ na alikuwa akichukua pesa zilizowekwa ndani yake.