2 Wafalme 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini Eliya akajibu na kumwambia yule mkuu wa 50: “Naam, ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto+ na ushuke kutoka mbinguni, ukuteketeze wewe na 50 wako.” Na moto ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na wale 50 wake.+
10 Lakini Eliya akajibu na kumwambia yule mkuu wa 50: “Naam, ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto+ na ushuke kutoka mbinguni, ukuteketeze wewe na 50 wako.” Na moto ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na wale 50 wake.+