1 Wafalme 22:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Naye Ahazia+ mwana wa Ahabu, alikuwa mfalme juu ya Israeli kule Samaria katika mwaka wa kumi na saba wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, naye akaendelea kutawala juu ya Israeli kwa miaka miwili.
51 Naye Ahazia+ mwana wa Ahabu, alikuwa mfalme juu ya Israeli kule Samaria katika mwaka wa kumi na saba wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, naye akaendelea kutawala juu ya Israeli kwa miaka miwili.