Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akawaamuru, akisema: “Angalieni, mtajificha na kulivizia+ jiji, upande wa nyuma wa jiji. Msiende mbali sana na jiji, nanyi nyote kaeni tayari.

  • Yoshua 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huohuo akachukua wanaume elfu tano hivi, akawaweka kuvizia+ kati ya Betheli+ na Ai, upande wa magharibi wa jiji.

  • Waamuzi 20:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndipo Israeli wakaweka watu wa kuvizia+ Gibea pande zote.

  • Waamuzi 20:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na wale waliokuwa wakivizia, walitenda haraka, wakatimua mbio kuelekea Gibea.+ Ndipo wenye kuvizia+ wakasambaa na kulipiga jiji lote kwa makali ya upanga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki