Yoshua 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye akawaamuru, akisema: “Angalieni, mtajificha na kulivizia+ jiji, upande wa nyuma wa jiji. Msiende mbali sana na jiji, nanyi nyote kaeni tayari. Yoshua 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huohuo akachukua wanaume elfu tano hivi, akawaweka kuvizia+ kati ya Betheli+ na Ai, upande wa magharibi wa jiji. Waamuzi 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndipo Israeli wakaweka watu wa kuvizia+ Gibea pande zote. Waamuzi 20:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na wale waliokuwa wakivizia, walitenda haraka, wakatimua mbio kuelekea Gibea.+ Ndipo wenye kuvizia+ wakasambaa na kulipiga jiji lote kwa makali ya upanga.+
4 Naye akawaamuru, akisema: “Angalieni, mtajificha na kulivizia+ jiji, upande wa nyuma wa jiji. Msiende mbali sana na jiji, nanyi nyote kaeni tayari.
12 Wakati huohuo akachukua wanaume elfu tano hivi, akawaweka kuvizia+ kati ya Betheli+ na Ai, upande wa magharibi wa jiji.
37 Na wale waliokuwa wakivizia, walitenda haraka, wakatimua mbio kuelekea Gibea.+ Ndipo wenye kuvizia+ wakasambaa na kulipiga jiji lote kwa makali ya upanga.+