Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akawaamuru, akisema: “Angalieni, mtajificha na kulivizia+ jiji, upande wa nyuma wa jiji. Msiende mbali sana na jiji, nanyi nyote kaeni tayari.

  • 1 Samweli 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye Sauli akaja mpaka jiji la Amaleki, akavizia kando ya bonde la mto.

  • Methali 24:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana kwa mwongozo stadi utaendeleza vita vyako,+ na kwa wingi wa washauri kuna wokovu.+

  • Mhubiri 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, na mtenda-dhambi mmoja tu anaweza kuharibu mambo mengi mema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki