Mwanzo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Abramu akasema tena: “Tazama! Hukunipa uzao+ wowote, na, tazama! mwana+ wa nyumba yangu anakuwa mrithi wangu.” 1 Timotheo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.
3 Kisha Abramu akasema tena: “Tazama! Hukunipa uzao+ wowote, na, tazama! mwana+ wa nyumba yangu anakuwa mrithi wangu.”
8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.