2 Wafalme 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na ikawa kwamba wakati wa asubuhi akaondoka. Kisha akasimama tuli na kuwaambia watu wote: “Ninyi ni waadilifu.+ Tazama, mimi mwenyewe nilipanga hila+ juu ya bwana wangu, nami nikamuua;+ lakini ni nani aliyewapiga na kuwaua hawa wote?
9 Na ikawa kwamba wakati wa asubuhi akaondoka. Kisha akasimama tuli na kuwaambia watu wote: “Ninyi ni waadilifu.+ Tazama, mimi mwenyewe nilipanga hila+ juu ya bwana wangu, nami nikamuua;+ lakini ni nani aliyewapiga na kuwaua hawa wote?