1 Wafalme 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sasa Yehova akamwambia: “Nenda, rudi katika nyika ya Damasko;+ nawe uingie na kumtia mafuta+ Hazaeli+ kuwa mfalme juu ya Siria. 2 Wafalme 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na ikawa kwamba kesho yake akachukua tandiko lenye mapambo, akalichovya ndani ya maji, akalifunika juu ya uso wake,+ hata akafa.+ Na Hazaeli+ akaanza kutawala mahali pake. 2 Wafalme 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Siku hizo Yehova akaanza kukatilia mbali Israeli kipande kimoja baada ya kingine; na Hazaeli+ akaendelea kuwapiga katika eneo lote la Israeli,
15 Sasa Yehova akamwambia: “Nenda, rudi katika nyika ya Damasko;+ nawe uingie na kumtia mafuta+ Hazaeli+ kuwa mfalme juu ya Siria.
15 Na ikawa kwamba kesho yake akachukua tandiko lenye mapambo, akalichovya ndani ya maji, akalifunika juu ya uso wake,+ hata akafa.+ Na Hazaeli+ akaanza kutawala mahali pake.
32 Siku hizo Yehova akaanza kukatilia mbali Israeli kipande kimoja baada ya kingine; na Hazaeli+ akaendelea kuwapiga katika eneo lote la Israeli,