1 Wafalme 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Je, bwana wangu hakuambiwa yale niliyofanya wakati Yezebeli alipowaua manabii wa Yehova, jinsi nilivyowaficha baadhi ya manabii wa Yehova, watu 100 wakiwa vikundi viwili vya watu 50 pangoni,+ nikaendelea kuwapa mkate na maji?+
13 Je, bwana wangu hakuambiwa yale niliyofanya wakati Yezebeli alipowaua manabii wa Yehova, jinsi nilivyowaficha baadhi ya manabii wa Yehova, watu 100 wakiwa vikundi viwili vya watu 50 pangoni,+ nikaendelea kuwapa mkate na maji?+