13 Hiki ndicho watakachotoa wale wote wanaopita kwa wale waliohesabiwa: nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.+ Gera 20 zinatoshana na shekeli moja. Nusu shekeli ndio mchango kwa Yehova.+
9 Kisha wakatoa mwito katika Yuda na Yerusalemu yote ili kumletea Yehova ile kodi takatifu+ iliyoagizwa na Musa+ mtumishi wa Mungu wa kweli juu ya Israeli nyikani.