Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wakati wowote unapowahesabu wana wa Israeli,+ basi kila mmoja wao atamtolea Yehova fidia kwa ajili ya nafsi yake wakati wa kuhesabiwa kwao,+ ili kusiwe na pigo juu yao wakati wa kuhesabiwa kwao.+

  • Kutoka 30:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hiki ndicho watakachotoa wale wote wanaopita kwa wale waliohesabiwa: nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.+ Gera 20 zinatoshana na shekeli moja. Nusu shekeli ndio mchango kwa Yehova.+

  • Kutoka 30:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kila mtu anayepita kuingia upande wa wale walioandikishwa kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi atatoa mchango wa Yehova.+

  • Kutoka 30:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nawe utachukua pesa za fedha za upatanisho kutoka kwa wana wa Israeli na kuzitoa kwa ajili ya utumishi wa hema la mkutano,+ ili kwa kweli uwe ukumbusho mbele za Yehova na wana wa Israeli, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki