Mambo ya Walawi 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Ikiwa mtu atamwekea Yehova nadhiri ya pekee+ kwa kumtolea Yehova nafsi kulingana na thamani iliyokadiriwa, Mambo ya Walawi 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye kuhani atamkadiria thamani yake iwapo ni mzuri au mbaya. Kulingana na thamani iliyokadiriwa na kuhani,+ ndivyo atakavyokuwa.
2 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Ikiwa mtu atamwekea Yehova nadhiri ya pekee+ kwa kumtolea Yehova nafsi kulingana na thamani iliyokadiriwa,
12 Naye kuhani atamkadiria thamani yake iwapo ni mzuri au mbaya. Kulingana na thamani iliyokadiriwa na kuhani,+ ndivyo atakavyokuwa.