Mwanzo 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 lile shamba ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kutoka kwa wana wa Hethi. Hapo Abrahamu akazikwa, na pia Sara mke wake.+ Mwanzo 27:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Nimekuja kuyachukia sana haya maisha yangu kwa sababu ya binti za Hethi.+ Yakobo akichukua mke kutoka kwa binti za Hethi kama hawa kutoka kwa binti za hii nchi, basi maisha yana faida gani kwangu?”+
10 lile shamba ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kutoka kwa wana wa Hethi. Hapo Abrahamu akazikwa, na pia Sara mke wake.+
46 Baada ya hayo Rebeka akawa akimwambia Isaka: “Nimekuja kuyachukia sana haya maisha yangu kwa sababu ya binti za Hethi.+ Yakobo akichukua mke kutoka kwa binti za Hethi kama hawa kutoka kwa binti za hii nchi, basi maisha yana faida gani kwangu?”+