19 Basi kazeni mioyo yenu na nafsi+ zenu kumuuliza Yehova, Mungu wenu,+ na msimame, mjenge patakatifu+ pa Yehova, Mungu wa kweli,+ ili kuleta sanduku+ la agano la Yehova na vyombo vitakatifu vya Mungu wa kweli katika nyumba iliyojengwa kwa ajili ya jina+ la Yehova.”