- 
	                        
            
            Mambo ya Walawi 23:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
13 na kama toleo lake la nafaka, sehemu mbili za kumi za efa ya unga laini uliotiwa mafuta, kama toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, harufu ya kutuliza; na kama toleo lake la kinywaji, sehemu ya nne ya hini ya divai.
 
 -