14 Basi Abrahamu akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji akampa Hagari,+ akakiweka juu ya bega lake, na yule mtoto,+ halafu akamruhusu aende. Naye akaenda zake, akatanga-tanga katika nyika ya Beer-sheba.+
10 ili kuuhamisha ufalme kutoka katika nyumba ya Sauli na kukiweka kiti cha ufalme cha Daudi juu ya Israeli na juu ya Yuda kuanzia Dani mpaka Beer-sheba.”+